Posts

Image
BAADHI YA TOFAUTI ZA SANAA ZA WASUKUMA NA WAHAYA. Mila na desituri Kati ya wahaya na wasukuma utofautiana katika mambo mbali mbali  lakini sanasana nagusia katika Sanaa Kama ifuatavyo. Wasukuma katika Sanaa zao sanasana upenda kutumia nyoka katika Sanaa zao ambapo nyoka ni kivutio Cha aina yake kwenye ngoma za kisukuma kituo Cha kuifathi utamaduni Cha Bujora mkoa was mwanza kasikazini magharibi mwa Tanzania kina jumla ya chatu watano ambao utumika katika ngoma za jadi. Mfano Methodi Emmanuel amwkua mfugaji wa nyoka katika kituo hiki. Mfano picha apa chini inaonesha Mwana Sanaa akicheza Kama ifuatavyo, Pia unaweza kuona vidio ya wasukuma Apo juu inayo onesha ujasili wa Musukuma njinsi anavyo weza kumia nyoka katika      Sanaa yake ya muziki aina ya ngoma. Wahaya katika suala la Mila na desituri wenyewe wametofautiana Sana na wasukuma katika mambo mbalimbali mfano katika ubatizaji wa majina ya watoto mfano wahaya pindi mtoto was Kwanza akiz...
Image
                            UTAMADUNI.       Utamaduni : ni jinsi binadamu anavyo kabiria maisha nayo mzunguka kwenye jamii husika mfano.  Ujuzi,Imani, Sanaa,Maadili,sheria na desituri.          - Maadili : Jinsi watu wanavyo heshimiana kwenye jamii husika kwa kufuata umuli wa watu mbalimbali kwenye jamii Fulani mfano baadhi ya jamii za kiafrika sanasana Tanzania mfano jamii ya Kihaya watu wa jamii iyo wame zoea kufatana na tamaduni zao kusalimiana kwa kuinama na pia upiga magoti pindi Mdogo avyokua akitoa salaam kwa mkubwa wake. Hi uonesha thamani ya mtu kwenye jamii husika. Pia baadhi ya tamaduni nyingine usisitiza katika uvaaji mfano tamaduni za kimasai watu husitili mihili yao vizuri nakuweza kuleta heshi katika jamii.    - Sanaa : katika tamaduni nyingi za kiafirika Sanaa uwa ni sehemu ya tamaduni yao watu wanaweza kutoa yaliomo ndani na nje ya...